1. Umati wa Yesu, njooni kwa furaha msikie habari ya sikukuu! Mwana wa Mungu azaliwa kwetu. Njooni tumtukuze! Njooni tumtukuze! Njooni tumtukuze! Yesu Kristo! 2. Mbinguni malaika wamwimbia wote na wote wakaao kwake Mungu. Mungu ni mkuu, aliyetupenda. Njooni tumtukuze! … 3. Tumsifu Mwokozi Yesu siku zote, aliyezaliwa kwetu leo. Anatujia atufurahishe. Njooni tumtukuze! …
Comments
Post a Comment