18. Umati wa Yesu

1. Umati wa Yesu,

   njooni kwa furaha

   msikie habari ya sikukuu!

   Mwana wa Mungu 

   azaliwa kwetu. 

         Njooni tumtukuze!

         Njooni tumtukuze!  

         Njooni tumtukuze! 

         Yesu Kristo!


2. Mbinguni malaika 

   wamwimbia wote 

   na wote wakaao kwake

   Mungu.

   Mungu ni mkuu,

   aliyetupenda. 

        Njooni tumtukuze! …


3. Tumsifu Mwokozi 

   Yesu siku zote, 

   aliyezaliwa kwetu leo. 

   Anatujia atufurahishe.

         Njooni tumtukuze! …


Comments

Popular posts from this blog

2. Hosiana, Mesiya