117. Yesu Amefufuka (Haya Shangilia)
1. K: Yesu W: Amefufuka
K: Yesu W: Amefufuka,
ametoka kaburini
K: /: Haya,
W: Shangilia,
K: Haya, W: Shangilia,
ametoka kaburini.:/
2. K: Shetani W: Ameshindwa.
K: Shetani W: Ameshindwa
hana lake duniani.
K: /: Haya, W: Shangilia,
K: Haya , W: Shangilia,
ametoka kaburini. :/
3. K: Yesu W: Kawatokea,
K: Yesu W: Kawatokea
wanafunzi wake wote
K: /: Haya, W: Shangilia,
K: Haya, W: Shangilia,
ametoka kaburini. :/
4. K: Amani, W: Iwe kwenu,
K: Amani, W: Iwe kwenu,
mpokee Roho wangu.
K: /: Haya, W: Shangilia,
K: Haya, W: Shangilia,
ametoka kaburini. :/
5. K: Bwana, W: Yesu kapaa,
K: Bwana, W: Yesu kapaa,
sasa yu juu mbinguni
K: /: Haya, W:Shangilia,
K: Haya, W: Shangilia,
sasa yu juu mbinguni:/
6. K: Sasa, W:Kristo huketi,
K: Sasa W:Kristo huketi
kuumeni mwake Baba
K: /: Haya, W:Shangilia,
K: Haya, W:Shangilia,
sasa yu juu mbinguni.:/
7. K: Hivyo, W:Anatawala,
K: Hivyo, W:Anatawala
pamoja na Baba yake.
K: /: Haya,W:Shangilia,
K: Haya, W:Shangilia,
sasa yu juu mbinguni. :/
8. K: Sisi, W: Tusiogope
K: Sisi, W: Tusiogope,
amemtuma Roho wake,
K: /: Ili, W: Tuwezeshwe,
K: Ili, W: Tuwezeshwe
kuwa mashahidi wake. :/
9. K : Siku, W: Twaingojea,
K : Siku, W: Twaingojea
ya kurudi kwake Yesu.
K: /: Kweli, W: Tutaona,
K: Kweli, W: Tutaona,
utukufu wake Bwana. :/
Comments
Post a Comment