120. Ameingia Mbinguni
1. Ameingia mbinguni.
Haleluya
Kristo mwenye utukufu.
Haleluya.
2. Akaa kitini kwa Mungu
Haleluya!
Mkuu wa dunia na mbingu.
Haleluya!
3. Sasa limetimilika.
Haleluya!
Agano lote la kale.
Haleluya!
4. Mwana Daudi, Mfalme mkuu.
Haleluya!
Sasa ni Bwana wa wote.
Haleluya!
5. Sababu hii tumsifuni.
Haleluya!
Yesu Mwokozi wetu mkuu!
Haleluya!
Comments
Post a Comment