121. Mwokozi Wetu Amepaa

1. Mwokozi wetu amepaa  

   mbinguni kwake Baba! 

   Neno hili ni faraja,

   kwa wote wenye woga 

   Kikiwa kichwa mbinguni,

   hata viungo vyafika 

   alikokwenda yeye.

 

2. Mwokozi wetu amepaa 

   mbinguni, mwenye nguvu.

   Mbinguni nitapokewa 

   nitengemane kweli.

   Sababu hii ninataka 

   kufika pale alipo 

   Mwokozi wangu Yesu.


3. Mwokozi wetu amepaa 

   mbinguni! Nakuomba:  

   Bwanangu nisaidie  

   nikutegemee wee. 

   Nikufuate daima, 

   mwisho nifike kwako juu

   nikiacha dunia. 

Comments

Popular posts from this blog

18. Umati wa Yesu

2. Hosiana, Mesiya