123 - Siku Hii Tuliyomwona

 1. Siku hii tuliyomwona 

   akipaa juu mbinguni,

   alifia wakosaji, 

   karudia enzi yake.


2. Huko shangwe yake nyingi

   milangoni pa milele.

   Kashinda makosa, kufa, Yeye

   Mfalme mwenye nguvu.


3. Ajapokwenda mbinguni,

   alipenda ulimwengu. 

   Akikaa kitini mwake, 

   sisi atutunza hapa.


4. Tazama mkononi mwake

   alama za pendo lake! 

   Awatia mibaraka watu 

   na makundi yake.


5. Na sisi atuombea 

   akikaa utukufuni,

   na atutengenezea

   makao tukae naye. 

Comments

Popular posts from this blog

18. Umati wa Yesu

2. Hosiana, Mesiya