130. Ee Roho Uje

1. Ee Roho uje, ee Bwana, 

   ujaze kipaji chako,

   kwao uliowakusanya 

   washa moto wa upendo!

        Umetuita mwangani, 

        tuwe umoja pendoni, 

        tulio wa ulimwenguni, 

        kwa hiyo daima twakusifu. 

        Haleluya, Haleluya!


2. Mtuliza moyo Mtukufu, 

   tuagize, Neno lako 

   litufundishe kumtambua

   Mungu na kumwita Baba.

        Umetuita …


3. Vitani tupe upozi,  

   kituo cha kutulia, 

   na tusiogope ukali 

   wa adui na wa mwili. 

         Umetuita … 

Comments

Popular posts from this blog

18. Umati wa Yesu

2. Hosiana, Mesiya