135. Bwana Nasikia Kwamba

1. Bwana nasikia kwamba 

   umebariki wengi, 

   nami nakuomba sasa:

   Nibariki na mimi! 

   Na mimi na mimi, 

   Nibariki na mimi.


2. Nipitie Baba yangu,

   kweli mimi mkosaji, 

   Baba uingie kwangu, 

   nirehemu na mimi! 

   Na mimi na mimi 

   Nirehemu na mimi.


3. Nipitie, nakuomba,

   Bwana Yesu, Mwokozi,

   wakosaji wawaita,

   uniite na mimi!

   Na mimi na mimi 

   Uniite na mimi.


4. Nipitie Roho mwema 

   kweli mimi sioni,

   mwenye nguvu za kuonya,

   nipe nguvu na mimi!

   Na mimi na mimi

   Nipe nguvu na mimi.


5. Nipitie Baba yangu, 

   nakuomba kwa bidii,

   umebariki wengine,

   nibariki na mimi! 

   Na mimi na mimi 

   Nibariki na mimi.

Comments

Popular posts from this blog

18. Umati wa Yesu

2. Hosiana, Mesiya