20. Njooni Wachungaji Bethlehemu!

1. Njooni wachungaji 
   Bethlehemu! 
   Njooni kumtazama
   mtoto mzuri. 
   Mwana wa Mungu amezaliwa.
   Baba amtuma awakomboe.
   Msiogope!
 
2. Twende Bethlehemu tukaone
   tulivyoambiwa na malaika. 
   Tuyaonayo tutatangaza
   na kutukuza kwa nyimbo nzuri
   Haleluya!

3. Kweli malaika wametangaza
   Furaha kubwa kwa wachungaji. 
   Sasa po pote patengenezwe, 
   na watu wote watapendezwa. 
   Furahini!

Comments

Popular posts from this blog

18. Umati wa Yesu

2. Hosiana, Mesiya