21. Watoto Njooni Bethlehemu

1. Watoto njooni, Bethlehemu,
   njooni zizini kuona makuu
   Mungu aliyotutendea leo,
   watoto waone furaha kubwa.

2. Twaona kitoto kizuri hapa, wa-
   zee wamtazama,
   wanafurahi. 
   Wachungaji wote
   wamwangukia, 
   malaika wa mbingu  wanam-
   wimbia.

3. Pigeni magoti na wachungaji!
   Wakubwa, wadogo
   tumnyenyekee! 
   Tuimbe na sisi kwa 
   furaha kuu, nyimbo za 
   kumsifu Mwokozi Yesu!

4. Watoka mbinguni utuokoe,
   waona uchungu sababu yetu,
   leo wazaliwa mwana kikiwa.
   Halafu wateswa, unatufia.

5. Twapenda kukupa mioyo yetu,
   twataka kukutumikia vema. 
   Takasa mioyo ikupendeze,
   tupate kufika kwako
   mbinguni.

Comments

Popular posts from this blog

18. Umati wa Yesu

2. Hosiana, Mesiya