3. Sayuni, ufuhi!
1. Sayuni ufurahi.
Shangilia Yerusalemu!
Yuaja Mfalme wako,
mwenye amani kwako.
Sayuni ufurahi!
Shangilia Yerusalemu.
2. Hosiana Mesiya
Utubariki sasa.
Jenga ufalme wako
Ulimwenguni mwote.
Hosiana Mesiya
Utubariki sasa.
3. Hosiana pongezi!
Twakuamkia Bwana!
Kiti cha enzi yako
chasimama milele.
Hosiana pongezi!
Twakuamkia Bwana.
Comments
Post a Comment