40. Tushangilie Sote

K:  Tushangilie sote 

W:  Kila mtu. 

K:  Mwana wa Mungu   

    akaja

W:  Hata kwetu. 

K:  Tumjue Mungu Baba 

W:  Wa huruma. 

K:  Usiku wa manane 

W:  Shangwe kubwa 

K:  Alipozaliwa Kristo 

W:  Awe Mfalme. 

K:  Pale katika mji 

W:  Wa Daudi. 

K:  Kwenye kondoo hata   

    ng’ombe

W:  Bethlehemu. 

K:  Na akaitwa kwa Jina

W:  La ajabu. 

K:  Nalo Yesu Mwokozi 

W:  Mungu nasi. 

K:  Hakika ni Mwokozi 

W:  Mwenye enzi

K:  Tupatiwe uzima

W:  Wa milele. 

K:  Na kumtumikia daima 

W:  Siku zote. 

K:  Maana kwake   

    sasa tumemwona 

W:  Mungu wetu. 

K:  Na hivyo hata Roho 

W:  Mtakatifu 

K:  Njoni kwa hiyo  

    tumsifu

W:  Bila mwisho.

Comments

Popular posts from this blog

18. Umati wa Yesu

2. Hosiana, Mesiya