61. Sifuni Nyote Huruma

1. Sifuni nyote huruma ya

   Mungu, 

   kwa nyimbo nzuri, 

   umati wa Yesu! 

   Atualika furahani: 

  /: Msifuni Bwana kwa 

     neema yake! :/


2. Yeye ni Mfalme 

   anayetawala; 

   viumbe vyote 

   vinamtumikia, 

   hata malaika 

   wamwabudu,

  /: wanamwimbia kwa 

    sauti nzuri. :/


3. Enyi mataifa, hofu 

   iacheni!

   Njooni kwa Yesu,

   Mchunga kondoo 

   mwema.

   Sikilizeni Neno lake:

   /: Atukomboa kwa kufa

     kwake.:/


4. Awapa watu chakula 

   chochote,

   atushibisha kama baba

   mzuri,

   aleta jua hata mvua,

   /: atubariki kwa wema 

    wake. :/

5. Sifuni nyote huruma ya

   Mungu,

   kwa nyimbo nzuri, 

   umati wa Yesu!

   Sasa huzuni twaishinda:

   /: Msifuni Bwana kwa 

    neema yake! :/

Comments

Popular posts from this blog

18. Umati wa Yesu

2. Hosiana, Mesiya