68. Nitakutukuza
1. Nitakutukuza, nakuimbia
/: wewe uzima wangu,
kingojeo changu! :/
2. Umeniokoa kwa mkono wako,
/: nalifuata njia
ya upotevuni. :/
3. Wote wakujue upole wako,
/: wakufuate Yesu
ninayekupenda. :/
4. Utume mitume waende kote,
/: kwa nguvu yako Bwana wafu
wafufuke. :/
5. Huku chini kote, dunia nzima
/: lifanywe kundi moja, wewe
Mchunga wao! :/
Comments
Post a Comment