90. Mtini Mponya Alipowambwa

1. Mtini Mponya alipowambwa,

   ndipo nimwombapo upozi

   akaniokoa mpenzi.

   Mwana wa Mungu. 

        Mwana wa Mungu   

        Mwokozi wangu.  

        Mtini Mponya  

        alipowambwa,  

        Mwana wa Mungu!

 

2. Chini ya mti wenye uchungu, 

   ndipo nimwombapo usafi,

   mara kwa damu kaniosha

   Mwana wa Mungu. 

       Mwana wa Mungu …


3. Akaniondolea manza,

   ameingia ndani mwangu, 

   kwani mtini amenifia. 

   Mwana wa Mungu. 

       Mwana wa Mungu …


4. Ziwa la damu ya kiasi,

   linatosa makosa yote,

   laniendesha wokovuni. 

   Mwana wa Mungu. 

       Mwana wa Mungu …

 

5. Hicho kijito chenye maji!

   U tayari kuzama humo? 

   Humo utaona uzima!

   Mwana wa Mungu. 

       Mwana wa Mungu …

Comments

Popular posts from this blog

18. Umati wa Yesu

2. Hosiana, Mesiya